About Me

header ads

Matukio Mbalimbali Banda la Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo (AQRB) Katika Maonesho ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.

 Afisa Uhusiano wa Bodi hiyo, Hamis Sungura (kushoto) akimuelezea  mwananchi huduma zinazotolewa na bodi hiyo aliyotembelea banda lao lililopo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ jijini Dar es Salaam. 
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON
 Wanachi wakipata maelezo mbali mbali yanayohusiana na huduma zinazotolewa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) walipotembelea banda hilo lililopo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ jijini Dar es Salaam. 
 Mashaka Bundala  kutoka Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) akimsikilia mwanachi aliyetembelea banda la bodi hiyo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ jijini Dar es Salaam. 
 Afisa Uhusiano na Msaidizi wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), Atugonza Samweli (kulia) akimuonesha  mwananchi kitabu kinachoelezea maadili ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi wakati alipotembelea banda la Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ jijini Dar es Salaam. 
 Muonekano wa  banda la Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) lililopo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ jijini Dar es Salaam. 
 Wanyakazi wa  Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) wakiwa kwenye picha ya pamoja katika banda lao lililoko kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ jijini Dar es Salaam. 

Post a Comment

0 Comments