About Me

header ads

SIMBA VS AZAM: NANI ATAIBUKA NA USHINDI LEO?”

Leo, Desemba 7, 2025, uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, utakuwa mahali pa moto kwa mashabiki wa soka wakati Simba SC itakapoikaribisha Azam FC katika derby ya Mzizima, majira ya saa 11 jioni.

Takwimu za Historia ya Mechi za Mwisho

Katika mechi tano za mwisho za Ligi kuu kati ya Simba na Azam:

Simba imeshinda mechi 2

Tarehe 3 zimeisha kwa sare

Azam haijawahi kushinda Simba katika mechi hizo 5 za mwisho

SOMA ZAIDI HAPA

Post a Comment

0 Comments